|
UYOGA-Hii ilikuwa ni siku ya ukimwi dunia 1/12/2007,ikiwa immeangukia katika mojawaop ya mikutano ya
kuunda kongamano la vijana,
(Tanzania
Youth Speak Forum)mchakato ulioanzishwa na makundi ya vijana yalio mbele katika kutetea na kulinda haki ma masilahi ya kijana,baadhi
ya makundi hyo ni kama,YOMNET(Youth Media Network),TYC(Tanzania Youth Coalition)na watu binafsi,wanafunzi wa taasisi za elimu
ya juu.Kongamano hili lilikuja baada ya mchakato kufanyika kue inchini Misri,lililoitwa African Youth Speak Forum.Baada ya
kongamano hilo lilikuwa kama changamoto kwa vijana,kuona umuhimu wao wa kudai
haki kupitia sauti ya pamoja kama vijana wanaowakilisha taifa katika masuala yawahusiyo.Wakiwa katika ukumbi
wa mikutano wa UNICEF.Siku ya Ukimwi duniani tarehe 1.12.2007,UYOGA ilisindikizwa na mgeni wao kutoka nchini Kenya Bwana Samuel
Kongere,

|
| UYOGA's Youth |
| UYOGA's Youth |

|
|